Kama lilivyojina la jukwaa la fikra, kwamba wakati mwingi ni kutuweka katika fikra za maisha zaidi!
Leo ninakuletea jambo ambalo inabidi tusaidizane kushangaa katika baadhi ya mambo.
>kwanza utamuelewaje Daktari anayesimama kwenye geti la hospitali kuzuia wagonjwa?
>pili umuelewaje fundi gereji anayekataa magari mabovu?
>tautu utamuelewaje mchungaji anayezuia watu wenye matendo mabovu wasiingie kanisani?
Utamuelewaje? Leo tunasaidiana kushangaa tu!
Naomba tuasaidiane kushangaa tukiwa tunasubiria mambo mengi kutika Jukwaani!
0 Comments